KARIBUNI KWENYE BLOG YANGU ILI USIPITWE NA HABARI KEMKEM,KWA HABARI MOTOMOTO NDANI NA NJE YA NCHI MICHEZO NA BURUDANI NA ZINGINEZO NYINGI UNGANA NAMI NICK 4REAL
Showing posts with label SPORT. Show all posts
Showing posts with label SPORT. Show all posts

Thursday, June 1, 2017

Hatutaiona KRC Genk ya Mbwana SAMATA kwenye EUROPA LEAGUE



Usiku wa May 31 2017 Club ya KRC Genk inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta ilicheza game yake ya mwisho ya play off ya kuwania kushiriki michuano ya UEFA Europa League msimu wa 2017/18 dhidi ya KV Oostende.

Wednesday, May 3, 2017

RONALDO AWEKA REKODI MPYA 2 BAADA YA MCHEZO WA JANA 3-0 DHIDI YA A.MADRID...


Mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya UEFA Champions League kati ya Real Madriddhidi ya Atletico Madrid ulichezwa usiku wa May 2 katika uwanja wa Santiago Bernabeu, ikumbukwe huu ni mchezo ambao ulikuwa unazikutanisha timu za mji moja wa Madrid nchini Hispania.

Thursday, April 21, 2016

Droo ya Kombe la shirikisho lapangwa Yanga yakutana na timu hii...


Baada ya klabu ya Dar es Salaam Young Africans kuondolewa katika michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya usiku wa April 20 2016 na klabu ya Al Ahly ya Misri kwa jumla ya goli 2-1, sasa wanajiandaa kurudi kucheza Kombe la shirikisho barani Afrika katika hatua ya 16.

Sunday, April 17, 2016

HABARI + VIDEO; Samatta aanza kucheza dakika 90 Atupia moja

Ally Mbwana Samatta
Kwa mara ya kwanza nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Samatta akicheza dakika zote 90 na kufunga bao la uongoz kwenye timu yake ya Ubelgiji huku akiisaidia timu yake kuchomoza na ushindi wa magoli 2-1

Friday, April 15, 2016

HABARI + VIDEO;- RECORD YA LIVERPOOL DHIDI YA TIMU ZA UJERUMAN NYUMBANI

3330D88E00000578-3540569-image-a-148_1460669635304

Droo ya nusu fainali ya UEFA 2016 imechezeshwa na majibu ni haya

 
Baada ya kumalizika kwa hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya na kushuhudia vilabu vya Atletico Madrid, Real Madrid, Man City na FC Bayern Munich vikifuzu hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo,

Sunday, March 27, 2016

CHAD yajitoa AFCON 2017.. CAF watoa tamko




Jumatatu ya March 28 timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ilikuwa inajiandaa kushuka dimbani kucheza mchezo wake wa nne wa kuwania kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika 2017 dhidi ya Chad, habari zilizotoka March 27 kutoka shirikisho la soka Afrika CAF ni kuwa Chad wamejitoa.

(VIDEO) GERMANY VS ENGLAND..Baada ya maajabu ya Liverpool vs Southampton..HILI NALO KALI...

Saturday, March 26, 2016

(+VIDEO) ADI YUSSUF Mtanzania anayecheza kwenye club ya Uingereza na amekuja kuichezea Taifa Stars

Adi Yussuf ni mtanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya daraja la pili Uingereza kwenye klabu ya Mansfield Town. Adi pia amekulia katika klabu ya Leicester City ila kwa sasa yupo Tanzania kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Chad wa kuwania kufuzu michuano AFCON 2017 Gabon.

Tuesday, March 22, 2016

Baada ya RONALDO kunya chai mgahawan nae MESSI anataraji kufungua mgawaha


Jina la Lionel Messi sio geni duniani kote kutokana na umahiri wake na urafiki wake mkubwa na tuzo za Ballon d’Or kwa ndio mchezaji anayeongoza kwa kutwaa tuzo hizo mara tano, headlines za March 22 ni kuwa staa huyo ameamua kutanua wigo wa kipato chake.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...